Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa upande mwingine, ninyi ni watu wa kupaka uwongo;+

      Ninyi nyote ni matabibu wasio na faida.+

  • Ayubu 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 “Ninyi mtaendelea kunikasirisha nafsi yangu mpaka wakati gani+

      Na kuendelea kuniponda kwa maneno?+

  • Wafilipi 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 lakini wale wa kwanza hufanya hivyo kutokana na ugomvi,+ si kwa kusudi safi, kwa maana wanataka kuchochea dhiki+ juu yangu katika vifungo vyangu vya gereza.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki