Ayubu 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa upande mwingine, ninyi ni watu wa kupaka uwongo;+Ninyi nyote ni matabibu wasio na faida.+ Ayubu 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Ninyi mtaendelea kunikasirisha nafsi yangu mpaka wakati gani+Na kuendelea kuniponda kwa maneno?+ Wafilipi 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 lakini wale wa kwanza hufanya hivyo kutokana na ugomvi,+ si kwa kusudi safi, kwa maana wanataka kuchochea dhiki+ juu yangu katika vifungo vyangu vya gereza.
17 lakini wale wa kwanza hufanya hivyo kutokana na ugomvi,+ si kwa kusudi safi, kwa maana wanataka kuchochea dhiki+ juu yangu katika vifungo vyangu vya gereza.