Isaya 57:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Hakuna amani,” Mungu wangu amesema, “kwa waovu.”+ Yeremia 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa watu wangu,+ wakisema, ‘Kuna amani! Kuna amani!’ wakati hakuna amani.+ Yeremia 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa binti ya watu wangu,+ wakisema: “Kuna amani! Kuna amani!” wakati hakuna amani.+
14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa watu wangu,+ wakisema, ‘Kuna amani! Kuna amani!’ wakati hakuna amani.+
11 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa binti ya watu wangu,+ wakisema: “Kuna amani! Kuna amani!” wakati hakuna amani.+