Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na yule mjumbe aliyeenda kumwita Mikaya akamwambia, akisema: “Tazama! Maneno ya manabii kwa kauli moja ni mema kwa mfalme; tafadhali, neno lako na liwe kama la mmoja wao,+ nawe useme mema.”+

  • Isaya 30:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 ambao wamewaambia wale wanaoona, ‘Msione,’ na wale wanaopata maono, ‘Msione maono ya mambo manyoofu kwa ajili yetu.+ Tuambieni mambo laini; oneni maono ya mambo ya udanganyifu.+

  • Ezekieli 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Nao manabii wake wamewapigia lipu kwa kutumia chokaa,+ wakiona maono yasiyo halisi+ na kuagua uwongo+ kwa ajili yao, na kusema: “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi,” wakati ambapo Yehova mwenyewe hajasema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki