Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati 18:1

Marejeo

  • +1Sa 2:7; 2Nya 17:5; Met 10:22
  • +2Ko 6:14
  • +1Fa 16:28, 33; 21:25; 2Fa 8:18

2 Mambo ya Nyakati 18:2

Marejeo

  • +1Fa 22:2; 2Nya 19:2
  • +Zb 141:4
  • +1Fa 22:20; Met 27:6
  • +Kum 4:43; 1Nya 6:80

2 Mambo ya Nyakati 18:3

Marejeo

  • +1Fa 22:4
  • +Zb 139:21; Efe 5:11

2 Mambo ya Nyakati 18:4

Marejeo

  • +2Sa 2:1; 1Fa 22:5; 2Nya 34:26; Met 3:5

2 Mambo ya Nyakati 18:5

Marejeo

  • +1Fa 18:19
  • +1Fa 22:6

2 Mambo ya Nyakati 18:6

Marejeo

  • +2Fa 3:11
  • +1Fa 22:7

2 Mambo ya Nyakati 18:7

Marejeo

  • +1Fa 22:8
  • +1Fa 18:4; 19:10
  • +1Fa 18:17; 21:20; Zb 34:21
  • +Met 15:10; 27:5; Isa 30:10; Yer 38:4
  • +1Fa 22:8
  • +Met 25:12; Mik 2:7

2 Mambo ya Nyakati 18:8

Marejeo

  • +1Sa 8:15
  • +1Fa 22:9

2 Mambo ya Nyakati 18:9

Marejeo

  • +Mdo 12:21
  • +1Fa 22:10

2 Mambo ya Nyakati 18:10

Marejeo

  • +Yer 28:10
  • +Eze 13:6
  • +1Fa 22:11; Yer 28:2; 29:21

2 Mambo ya Nyakati 18:11

Marejeo

  • +Yer 23:25; Mik 3:5; 2Pe 2:1
  • +1Fa 22:12

2 Mambo ya Nyakati 18:12

Marejeo

  • +Zb 10:11; Isa 30:10; Ho. 7:3
  • +1Fa 22:13

2 Mambo ya Nyakati 18:13

Marejeo

  • +Kum 32:40
  • +1Fa 22:14; Yer 23:28; 42:4; Mdo 20:27

2 Mambo ya Nyakati 18:14

Marejeo

  • +1Fa 22:15

2 Mambo ya Nyakati 18:15

Marejeo

  • +1Sa 14:24; Mt 26:63
  • +1Fa 22:16

2 Mambo ya Nyakati 18:16

Marejeo

  • +Law 26:17; Hes 27:17; Kum 28:25; Zek 10:2
  • +Isa 63:11
  • +1Fa 22:17

2 Mambo ya Nyakati 18:17

Marejeo

  • +2Nya 18:7

2 Mambo ya Nyakati 18:18

Marejeo

  • +Yer 2:4
  • +Isa 6:1; Eze 1:26; Da 7:9; Ufu 20:11
  • +Ayu 1:6; Da 7:10
  • +1Fa 22:19

2 Mambo ya Nyakati 18:19

Marejeo

  • +1Fa 22:20

2 Mambo ya Nyakati 18:20

Marejeo

  • +Zb 104:4; Ebr 1:7
  • +1Fa 22:21

2 Mambo ya Nyakati 18:21

Marejeo

  • +Ayu 12:16
  • +Zb 33:10; 2Th 2:11
  • +1Fa 22:22

2 Mambo ya Nyakati 18:22

Marejeo

  • +Isa 19:14; Eze 14:9
  • +Hes 23:19; 1Fa 22:23; Eze 3:19

2 Mambo ya Nyakati 18:23

Marejeo

  • +2Nya 18:10
  • +1Fa 22:11
  • +1Fa 22:8; 2Nya 18:7
  • +Yer 20:2; Mk 14:65; Mdo 23:2
  • +1Fa 22:24

2 Mambo ya Nyakati 18:24

Marejeo

  • +Isa 9:14
  • +1Fa 22:25

2 Mambo ya Nyakati 18:25

Marejeo

  • +1Fa 22:26

2 Mambo ya Nyakati 18:26

Marejeo

  • +2Nya 16:10; Yer 20:2; Mdo 5:18
  • +Zb 80:5
  • +1Fa 22:27

2 Mambo ya Nyakati 18:27

Marejeo

  • +Hes 16:29; Kum 18:22
  • +1Fa 22:28

2 Mambo ya Nyakati 18:28

Marejeo

  • +Yos 20:8; 2Nya 18:2

2 Mambo ya Nyakati 18:29

Marejeo

  • +1Fa 14:5; 20:38
  • +1Fa 22:10
  • +1Fa 22:30

2 Mambo ya Nyakati 18:30

Marejeo

  • +1Fa 22:31; Met 24:6

2 Mambo ya Nyakati 18:31

Marejeo

  • +1Fa 22:32
  • +Kut 14:10; 2Nya 13:14; Zb 50:15
  • +Zb 34:7; 46:1; 94:17
  • +Zb 1:6

2 Mambo ya Nyakati 18:32

Marejeo

  • +1Fa 22:33

2 Mambo ya Nyakati 18:33

Marejeo

  • +2Fa 9:24
  • +1Fa 22:34
  • +2Nya 35:23; Zb 34:21

2 Mambo ya Nyakati 18:34

Marejeo

  • +1Fa 22:35; 2Nya 18:22

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 18:11Sa 2:7; 2Nya 17:5; Met 10:22
2 Nya. 18:12Ko 6:14
2 Nya. 18:11Fa 16:28, 33; 21:25; 2Fa 8:18
2 Nya. 18:21Fa 22:2; 2Nya 19:2
2 Nya. 18:2Zb 141:4
2 Nya. 18:21Fa 22:20; Met 27:6
2 Nya. 18:2Kum 4:43; 1Nya 6:80
2 Nya. 18:31Fa 22:4
2 Nya. 18:3Zb 139:21; Efe 5:11
2 Nya. 18:42Sa 2:1; 1Fa 22:5; 2Nya 34:26; Met 3:5
2 Nya. 18:51Fa 18:19
2 Nya. 18:51Fa 22:6
2 Nya. 18:62Fa 3:11
2 Nya. 18:61Fa 22:7
2 Nya. 18:7Met 25:12; Mik 2:7
2 Nya. 18:71Fa 22:8
2 Nya. 18:71Fa 18:4; 19:10
2 Nya. 18:71Fa 18:17; 21:20; Zb 34:21
2 Nya. 18:7Met 15:10; 27:5; Isa 30:10; Yer 38:4
2 Nya. 18:71Fa 22:8
2 Nya. 18:81Sa 8:15
2 Nya. 18:81Fa 22:9
2 Nya. 18:9Mdo 12:21
2 Nya. 18:91Fa 22:10
2 Nya. 18:10Yer 28:10
2 Nya. 18:10Eze 13:6
2 Nya. 18:101Fa 22:11; Yer 28:2; 29:21
2 Nya. 18:11Yer 23:25; Mik 3:5; 2Pe 2:1
2 Nya. 18:111Fa 22:12
2 Nya. 18:12Zb 10:11; Isa 30:10; Ho. 7:3
2 Nya. 18:121Fa 22:13
2 Nya. 18:13Kum 32:40
2 Nya. 18:131Fa 22:14; Yer 23:28; 42:4; Mdo 20:27
2 Nya. 18:141Fa 22:15
2 Nya. 18:151Sa 14:24; Mt 26:63
2 Nya. 18:151Fa 22:16
2 Nya. 18:16Law 26:17; Hes 27:17; Kum 28:25; Zek 10:2
2 Nya. 18:16Isa 63:11
2 Nya. 18:161Fa 22:17
2 Nya. 18:172Nya 18:7
2 Nya. 18:18Yer 2:4
2 Nya. 18:18Isa 6:1; Eze 1:26; Da 7:9; Ufu 20:11
2 Nya. 18:18Ayu 1:6; Da 7:10
2 Nya. 18:181Fa 22:19
2 Nya. 18:191Fa 22:20
2 Nya. 18:20Zb 104:4; Ebr 1:7
2 Nya. 18:201Fa 22:21
2 Nya. 18:21Ayu 12:16
2 Nya. 18:21Zb 33:10; 2Th 2:11
2 Nya. 18:211Fa 22:22
2 Nya. 18:22Isa 19:14; Eze 14:9
2 Nya. 18:22Hes 23:19; 1Fa 22:23; Eze 3:19
2 Nya. 18:232Nya 18:10
2 Nya. 18:231Fa 22:11
2 Nya. 18:231Fa 22:8; 2Nya 18:7
2 Nya. 18:23Yer 20:2; Mk 14:65; Mdo 23:2
2 Nya. 18:231Fa 22:24
2 Nya. 18:24Isa 9:14
2 Nya. 18:241Fa 22:25
2 Nya. 18:251Fa 22:26
2 Nya. 18:262Nya 16:10; Yer 20:2; Mdo 5:18
2 Nya. 18:26Zb 80:5
2 Nya. 18:261Fa 22:27
2 Nya. 18:27Hes 16:29; Kum 18:22
2 Nya. 18:271Fa 22:28
2 Nya. 18:28Yos 20:8; 2Nya 18:2
2 Nya. 18:291Fa 14:5; 20:38
2 Nya. 18:291Fa 22:10
2 Nya. 18:291Fa 22:30
2 Nya. 18:301Fa 22:31; Met 24:6
2 Nya. 18:311Fa 22:32
2 Nya. 18:31Kut 14:10; 2Nya 13:14; Zb 50:15
2 Nya. 18:31Zb 34:7; 46:1; 94:17
2 Nya. 18:31Zb 1:6
2 Nya. 18:321Fa 22:33
2 Nya. 18:332Fa 9:24
2 Nya. 18:331Fa 22:34
2 Nya. 18:332Nya 35:23; Zb 34:21
2 Nya. 18:341Fa 22:35; 2Nya 18:22
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 18:1-34

2 Mambo ya Nyakati

18 Na Yehoshafati akawa na utajiri na utukufu kwa wingi;+ lakini akafanya mapatano ya ndoa+ pamoja na Ahabu.+ 2 Basi miaka fulani baadaye akashuka kwa Ahabu huko Samaria;+ na Ahabu akamchinjia yeye na watu waliokuwa pamoja naye kondoo+ na ng’ombe kwa wingi. Naye akaanza kumshawishi+ wapande kupigana na Ramothi-gileadi.+ 3 Na Ahabu mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati mfalme wa Yuda: “Je, utaenda pamoja nami kule Ramothi-gileadi?”+ Ndipo akamwambia: “Mimi ni sawa na wewe, na watu wangu ni kama watu wako na tu pamoja nawe katika vita.”+

4 Hata hivyo, Yehoshafati akamwambia mfalme wa Israeli: “Tafadhali, kwanza kabisa uliza+ upate neno la Yehova.” 5 Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawakusanya manabii+ pamoja, watu mia nne, akawaambia: “Je, twende kupiga vita juu ya Ramothi-gileadi, au nijiepushe?”+ Nao wakaanza kusema: “Panda uende, na Mungu wa kweli atalitia jiji hilo mkononi mwa mfalme.”

6 Lakini Yehoshafati akasema: “Je, hayupo hapa tena nabii wa Yehova?+ Basi na tuulize kupitia yeye.”+ 7 Ndipo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati:+ “Bado kuna mtu mmoja+ ambaye tunaweza kumuuliza Yehova kupitia yeye, lakini hakika mimi ninamchukia,+ kwa maana katika siku zake zote yeye hatoi unabii wa mema kunihusu mimi, ila wa ubaya.+ Yeye ni Mikaya mwana wa Imla.”+ Hata hivyo, Yehoshafati akasema: “Mfalme asiseme jambo kama hilo.”+

8 Basi mfalme wa Israeli akamwita ofisa wa makao ya mfalme+ na kusema: “Mlete haraka Mikaya mwana wa Imla.”+ 9 Sasa mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wameketi kila mmoja juu ya kiti chake cha ufalme, wakiwa wamevaa mavazi ya kifalme,+ nao walikuwa wameketi katika uwanja wa kupuria kwenye mwingilio wa lango la Samaria; na manabii wote walikuwa wakitenda kama manabii mbele yao.+ 10 Ndipo Sedekia mwana wa Kenaana akajitengenezea pembe+ za chuma na kusema: “Yehova amesema hivi,+ ‘Kwa kutumia hizi utawasukuma Wasiria mpaka uwaangamize.’”+ 11 Na wale manabii wengine wote walikuwa wakitoa unabii kama huo, wakisema: “Panda uende Ramothi-gileadi, upate mafanikio,+ na Yehova hakika atalitia jiji lile mkononi mwa mfalme.”+

12 Na yule mjumbe aliyeenda kumwita Mikaya akamwambia, akisema: “Tazama! Maneno ya manabii kwa kauli moja ni mema kwa mfalme; tafadhali, neno lako na liwe kama la mmoja wao,+ nawe useme mema.”+ 13 Lakini Mikaya akasema: “Kama Yehova anavyoishi,+ lile ambalo Mungu wangu atasema, hilo ndilo nitakalosema.”+ 14 Ndipo akaingia kwa mfalme, naye mfalme akamwambia: “Mikaya, je, twende kupiga vita juu ya Ramothi-gileadi, au nijiepushe?” Mara moja akasema: “Panda uende na kufanikiwa; nao watatiwa mkononi mwenu.”+ 15 Kwa hiyo mfalme akamwambia: “Ninakuapisha mara ngapi+ kwamba usiniambie jambo lolote ila kweli katika jina la Yehova?”+ 16 Basi akasema: “Hakika ninawaona Israeli wote wametawanyika juu ya milima, kama kondoo wasio na mchungaji.+ Na Yehova akasema: ‘Hawa hawana mabwana.+ Kila mmoja na arudi kwa amani nyumbani kwake.’”+

17 Ndipo mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Je, sikukuambia, ‘Hatatoa unabii wa mambo mema kunihusu, ila tu mabaya’?”+

18 Naye akaendelea kusema: “Basi sikieni neno la Yehova:+ Hakika ninamwona Yehova ameketi juu ya kiti chake cha ufalme+ na jeshi+ lote la mbinguni limesimama upande wake wa kuume na wa kushoto.+ 19 Na Yehova akasema, ‘Ni nani atakayemdanganya Ahabu mfalme wa Israeli ili apande kwenda na kuanguka huko Ramothi-gileadi?’ Na kukawa na mazungumzo, huyu akisema hivi, na yule akisema vile.+ 20 Mwishowe roho+ fulani akaja na kusimama mbele za Yehova, akasema, ‘Mimi nitamdanganya.’ Ndipo Yehova akamwambia, ‘Kwa njia gani?’+ 21 Naye akasema, ‘Nitaenda nami nitakuwa roho ya udanganyifu katika kinywa cha manabii wake wote.’+ Kwa hiyo akasema, ‘Utamdanganya, na tena utashinda.+ Nenda, ukafanye hivyo.’+ 22 Na sasa, tazama, Yehova ametia roho ya udanganyifu katika kinywa cha hawa manabii wako wote;+ lakini Yehova mwenyewe ametangaza msiba juu yako.”+

23 Sasa Sedekia+ mwana wa Kenaana+ akakaribia, akampiga Mikaya+ kwenye shavu+ na kusema: “Ni katika njia gani hasa roho ya Yehova ilinipita mimi ikaenda kusema na wewe?”+ 24 Kwa hiyo Mikaya akasema: “Tazama! Utaona ni njia gani siku ile+ utakapoingia katika chumba cha ndani kabisa ili ujifiche.”+ 25 Ndipo mfalme wa Israeli akasema: “Mchukueni Mikaya, mmrudishe kwa Amoni mkuu wa jiji na kwa Yoashi mwana wa mfalme.+ 26 Nanyi mseme, ‘Mfalme amesema hivi: “Mtieni mtu huyu katika kizuizi,+ mkamlishe kwa posho iliyopunguzwa ya mkate+ na maji yaliyopunguzwa mpaka nitakaporudi kwa amani.”’”+ 27 Basi Mikaya akasema: “Ukirudi kwa amani kwa vyovyote, Yehova hakusema nami.” Naye akaongezea:+ “Sikieni, enyi watu wote.”+

28 Na mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda wakapanda kwenda mpaka Ramothi-gileadi.+ 29 Sasa mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati: “Mimi nitajibadili sura+ na kuingia vitani, lakini wewe vaa mavazi yako.”+ Kwa hiyo mfalme wa Israeli akajibadili sura, kisha wakaingia vitani.+ 30 Naye mfalme wa Siria alikuwa amewaamuru wale wakuu wa magari yake, akisema: “Msipigane na mdogo wala na mkuu, ila na mfalme wa Israeli peke yake.”+ 31 Na ikawa kwamba mara tu wale wakuu wa magari walipomwona Yehoshafati, wakaambiana: “Ndiye mfalme wa Israeli.”+ Basi wakageuka juu yake kupigana; na Yehoshafati akaanza kulia apewe msaada,+ na Yehova akamsaidia,+ na Mungu akawashawishi mara moja waondoke kwake.+ 32 Na ikawa kwamba mara tu wale wakuu wa magari walipoona kwamba yeye hakuwa mfalme wa Israeli, mara moja wakaacha kumfuata.+

33 Na palikuwa na mtu aliyepinda upinde bila kujua, lakini akampiga+ mfalme wa Israeli katikati ya viungio na vazi la chuma, naye akamwambia mwendesha-gari:+ “Geuza mkono wako, uniondoe katika kambi, kwa sababu nimeumizwa vibaya.”+ 34 Na pigano likazidi kuwa kali siku hiyo, na ikawa lazima kumweka mfalme wa Israeli akiwa amesimama katika gari akiwaelekea Wasiria mpaka jioni; na mwishowe akafa wakati wa kutua kwa jua.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki