10 Farao alipokaribia, wana wa Israeli wakaanza kuinua macho yao, na tazama, Wamisri walikuwa wakipiga mwendo wakiwafuatilia; na wana wa Israeli wakaogopa sana na kuanza kumlilia Yehova.+
14 Wakati wale wa Yuda walipogeuka, tazama, hapo walikuwa na pigano mbele na nyuma.+ Nao wakaanza kumlilia Yehova,+ huku makuhani wakipiga tarumbeta kwa sauti kubwa.