Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nao wakaanza kumlilia Yehova.+ Basi akaweka giza kati yenu na Wamisri,+ naye akaleta bahari juu yao na kuwafunika,+ na macho yenu yakaona mambo niliyoyafanya huko Misri;+ nanyi mkaanza kukaa katika nyika siku nyingi.+

  • Nehemia 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Kwa hiyo ukaona+ mateso ya mababu zetu huko Misri, nawe ukasikia+ kilio chao kwenye Bahari Nyekundu.

  • Zaburi 34:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wao walilia kwa sauti, naye Yehova mwenyewe akasikia,+

      Naye akawakomboa kutoka katika taabu zao zote.+

  • Zaburi 107:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Nao wakaendelea kumlilia Yehova katika taabu yao;+

      Akawakomboa kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki