Yoshua 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wakaanza kumlilia Yehova.+ Basi akaweka giza kati yenu na Wamisri,+ naye akaleta bahari juu yao na kuwafunika,+ na macho yenu yakaona mambo niliyoyafanya huko Misri;+ nanyi mkaanza kukaa katika nyika siku nyingi.+ Nehemia 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Kwa hiyo ukaona+ mateso ya mababu zetu huko Misri, nawe ukasikia+ kilio chao kwenye Bahari Nyekundu. Zaburi 34:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wao walilia kwa sauti, naye Yehova mwenyewe akasikia,+Naye akawakomboa kutoka katika taabu zao zote.+ Zaburi 107:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nao wakaendelea kumlilia Yehova katika taabu yao;+Akawakomboa kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao,+
7 Nao wakaanza kumlilia Yehova.+ Basi akaweka giza kati yenu na Wamisri,+ naye akaleta bahari juu yao na kuwafunika,+ na macho yenu yakaona mambo niliyoyafanya huko Misri;+ nanyi mkaanza kukaa katika nyika siku nyingi.+
9 “Kwa hiyo ukaona+ mateso ya mababu zetu huko Misri, nawe ukasikia+ kilio chao kwenye Bahari Nyekundu.
17 Wao walilia kwa sauti, naye Yehova mwenyewe akasikia,+Naye akawakomboa kutoka katika taabu zao zote.+
6 Nao wakaendelea kumlilia Yehova katika taabu yao;+Akawakomboa kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao,+