Kutoka 14:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa hiyo ikaingia katikati ya kambi ya Wamisri na kambi ya Israeli.+ Kwa upande mmoja ikawa wingu pamoja na giza. Kwa upande ule mwingine ikawa ikiuangaza usiku.+ Nacho kikundi hiki hakikukaribia kikundi kile usiku kucha. Zaburi 78:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akaendelea kuwaongoza kwa wingu wakati wa mchana+Na usiku kucha kwa nuru ya moto.+ Zaburi 105:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Alitandaza wingu lifunike,+Na moto utoe nuru wakati wa usiku.+
20 Kwa hiyo ikaingia katikati ya kambi ya Wamisri na kambi ya Israeli.+ Kwa upande mmoja ikawa wingu pamoja na giza. Kwa upande ule mwingine ikawa ikiuangaza usiku.+ Nacho kikundi hiki hakikukaribia kikundi kile usiku kucha.