Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye Yehova alikuwa akienda mbele yao wakati wa mchana katika nguzo ya wingu ili kuwaongoza njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili kuwapa nuru ya kwenda wakati wa mchana na wakati wa usiku.+

  • Hesabu 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Sasa katika siku ya kusimamisha maskani+ wingu lilifunika maskani ya hema la Ushuhuda,+ lakini wakati wa jioni kitu kilichoonekana kama moto+ kilikaa juu ya maskani hiyo mpaka asubuhi.

  • Nehemia 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nawe ukawaongoza kwa nguzo ya wingu wakati wa mchana,+ na kwa nguzo ya moto wakati wa usiku,+ ili kuwaangazia+ njia wanayopaswa kuipitia.

  • Zaburi 78:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akaendelea kuwaongoza kwa wingu wakati wa mchana+

      Na usiku kucha kwa nuru ya moto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki