Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye Yehova alikuwa akienda mbele yao wakati wa mchana katika nguzo ya wingu ili kuwaongoza njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili kuwapa nuru ya kwenda wakati wa mchana na wakati wa usiku.+

  • Kutoka 40:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kwa maana wingu la Yehova lilikuwa juu ya maskani wakati wa mchana, na moto ulikuwa juu yake wakati wa usiku machoni pa nyumba yote ya Israeli katika hatua zao zote za safari.+

  • Hesabu 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao hakika watawaambia wakaaji wa nchi hii. Wamesikia kwamba wewe ni Yehova katikati ya watu hawa,+ ambaye umeonekana uso kwa uso.+ Wewe ni Yehova, nalo wingu lako linasimama juu yao, nawe unaenda mbele yao katika nguzo ya wingu wakati wa mchana na katika nguzo ya moto wakati wa usiku.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki