Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Vikundi vya watu vitasikia,+ vitafadhaika;+

      Uchungu wa kuzaa+ utawashika wakaaji wa Ufilisti.

  • Yoshua 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana tumesikia jinsi ambavyo Yehova aliyakausha maji ya Bahari Nyekundu mbele yenu wakati mlipotoka Misri,+ na yale mliyowatendea wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ile nyingine ya Yordani, yaani, Sihoni+ na Ogu,+ ambao mliwaangamiza.+

  • Yoshua 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na ikawa kwamba, mara tu wafalme wote wa Waamori,+ waliokuwa ng’ambo ya Yordani upande wa magharibi, na wafalme wote wa Wakanaani,+ waliokuwa kando ya bahari, waliposikia kwamba Yehova alikuwa amekausha maji ya Yordani mbele ya wana wa Israeli mpaka walipokuwa wamevuka, ndipo mioyo yao ikaanza kuyeyuka,+ wala haikuwamo roho yoyote ya nguvu iliyobaki ndani yao tena kwa sababu ya wana wa Israeli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki