5 Mara tu wafalme wote wa Waamori+ waliokuwa upande wa magharibi wa Yordani na wafalme wote wa Wakanaani+ waliokuwa karibu na bahari waliposikia kwamba Yehova alikausha maji ya Yordani mpaka Waisraeli walipovuka, wakafa moyo+ na hawakuwa na ujasiri wowote kwa sababu ya Waisraeli.+