Kutoka 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Naye Yehova alikuwa akienda mbele yao wakati wa mchana katika nguzo ya wingu ili kuwaongoza njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili kuwapa nuru ya kwenda wakati wa mchana na wakati wa usiku.+ Hesabu 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hivyo ndivyo ilivyoendelea daima: Wingu liliifunika wakati wa mchana, na kitu kilichoonekana kama moto wakati wa usiku.+ Zaburi 78:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Naye akaendelea kuwaongoza kwa wingu wakati wa mchana+Na usiku kucha kwa nuru ya moto.+
21 Naye Yehova alikuwa akienda mbele yao wakati wa mchana katika nguzo ya wingu ili kuwaongoza njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili kuwapa nuru ya kwenda wakati wa mchana na wakati wa usiku.+
16 Hivyo ndivyo ilivyoendelea daima: Wingu liliifunika wakati wa mchana, na kitu kilichoonekana kama moto wakati wa usiku.+