Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Naye Yehova alikuwa akienda mbele yao wakati wa mchana katika nguzo ya wingu ili kuwaongoza njiani,+ na wakati wa usiku katika nguzo ya moto ili kuwapa nuru ya kwenda wakati wa mchana na wakati wa usiku.+

  • Hesabu 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hivyo ndivyo ilivyoendelea daima: Wingu liliifunika wakati wa mchana, na kitu kilichoonekana kama moto wakati wa usiku.+

  • Zaburi 78:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akaendelea kuwaongoza kwa wingu wakati wa mchana+

      Na usiku kucha kwa nuru ya moto.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki