20 Kwa hiyo ikaingia katikati ya kambi ya Wamisri na kambi ya Israeli.+ Kwa upande mmoja ikawa wingu pamoja na giza. Kwa upande ule mwingine ikawa ikiuangaza usiku.+ Nacho kikundi hiki hakikukaribia kikundi kile usiku kucha.
24 Na ikawa kwamba wakati wa kesha la kuamkia asubuhi, Yehova akaanza kuiangalia kambi ya Wamisri kutoka ndani ya nguzo ya moto na wingu,+ naye akaivuruga+ kambi ya Wamisri.