Yoshua 24:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wakaanza kumlilia Yehova.+ Basi akaweka giza kati yenu na Wamisri,+ naye akaleta bahari juu yao na kuwafunika,+ na macho yenu yakaona mambo niliyoyafanya huko Misri;+ nanyi mkaanza kukaa katika nyika siku nyingi.+
7 Nao wakaanza kumlilia Yehova.+ Basi akaweka giza kati yenu na Wamisri,+ naye akaleta bahari juu yao na kuwafunika,+ na macho yenu yakaona mambo niliyoyafanya huko Misri;+ nanyi mkaanza kukaa katika nyika siku nyingi.+