Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Mara moja Musa akaunyoosha mkono wake juu ya bahari, nayo bahari ikaanza kurudia hali yake ya kawaida asubuhi ikikaribia. Wakati wote huo Wamisri walikuwa wakikimbia wasikutane nayo, lakini Yehova akawakung’uta Wamisri katikati ya bahari.+

  • Zaburi 78:53
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 53 Naye akaendelea kuwaongoza kwa usalama, wala hawakuhofu kamwe;+

      Nayo bahari ikawafunika adui zao.+

  • Zaburi 106:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na maji yakaja kuwafunika wapinzani wao;+

      Hakuna hata mmoja wao aliyebaki.+

  • Zaburi 136:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na aliyemkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki