Kutoka 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mara moja Musa akaunyoosha mkono wake juu ya bahari, nayo bahari ikaanza kurudia hali yake ya kawaida asubuhi ikikaribia. Wakati wote huo Wamisri walikuwa wakikimbia wasikutane nayo, lakini Yehova akawakung’uta Wamisri katikati ya bahari.+ Zaburi 78:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Naye akaendelea kuwaongoza kwa usalama, wala hawakuhofu kamwe;+Nayo bahari ikawafunika adui zao.+ Zaburi 106:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na maji yakaja kuwafunika wapinzani wao;+Hakuna hata mmoja wao aliyebaki.+ Zaburi 136:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na aliyemkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
27 Mara moja Musa akaunyoosha mkono wake juu ya bahari, nayo bahari ikaanza kurudia hali yake ya kawaida asubuhi ikikaribia. Wakati wote huo Wamisri walikuwa wakikimbia wasikutane nayo, lakini Yehova akawakung’uta Wamisri katikati ya bahari.+
15 Na aliyemkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+