28 Nayo maji yakaendelea kurudi.+ Mwishowe yakafunika magari ya vita na askari wapanda-farasi wa majeshi yote ya Farao na ambao walikuwa wameingia baharini kuwafuatilia.+ Hakuna hata mmoja kati yao aliyebaki.+
4 wala mambo aliyotendea majeshi ya Misri, farasi zake na magari yake ya vita ambao dhidi ya nyuso zao aliyafanya maji ya Bahari Nyekundu yafurike walipokuwa wakiwafuatilia,+ na Yehova akawaangamiza mpaka leo hii;+
7 Nao wakaanza kumlilia Yehova.+ Basi akaweka giza kati yenu na Wamisri,+ naye akaleta bahari juu yao na kuwafunika,+ na macho yenu yakaona mambo niliyoyafanya huko Misri;+ nanyi mkaanza kukaa katika nyika siku nyingi.+