Kutoka 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kisha Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muuone wokovu wa Yehova, atakaowafanyia ninyi leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo hamtawaona tena, hasha, hamtawaona tena kamwe.+ Zaburi 106:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na maji yakaja kuwafunika wapinzani wao;+Hakuna hata mmoja wao aliyebaki.+ Zaburi 136:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na aliyemkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
13 Kisha Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muuone wokovu wa Yehova, atakaowafanyia ninyi leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo hamtawaona tena, hasha, hamtawaona tena kamwe.+
15 Na aliyemkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+