Kutoka 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi siku hiyo Yehova akaokoa Israeli kutoka kwa mkono wa Wamisri,+ na Israeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kando ya bahari.+ Kutoka 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Maji yenye kututumuka yaliwafunika;+ wakashuka ndani ya vilindi kama jiwe.+ Zaburi 136:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na aliyemkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Methali 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova amefanya kila kitu kwa kusudi lake,+ naam, hata mwovu kwa ajili ya siku ya uovu.+ Nehemia 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nawe ukapasua+ bahari mbele yao, nao wakavuka katikati ya bahari juu ya nchi kavu;+ na wale waliokuwa wakiwafuatilia ukawatupa ndani ya vilindi vya bahari+ kama jiwe+ katika maji yenye nguvu.+
30 Basi siku hiyo Yehova akaokoa Israeli kutoka kwa mkono wa Wamisri,+ na Israeli wakawaona Wamisri wakiwa wamekufa kando ya bahari.+
15 Na aliyemkung’uta Farao na jeshi lake ndani ya Bahari Nyekundu:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
11 Nawe ukapasua+ bahari mbele yao, nao wakavuka katikati ya bahari juu ya nchi kavu;+ na wale waliokuwa wakiwafuatilia ukawatupa ndani ya vilindi vya bahari+ kama jiwe+ katika maji yenye nguvu.+