Kutoka 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+“Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+ Zaburi 106:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na maji yakaja kuwafunika wapinzani wao;+Hakuna hata mmoja wao aliyebaki.+ Waebrania 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa imani walipita katikati ya Bahari Nyekundu kana kwamba ni juu ya nchi kavu,+ lakini Wamisri walipothubutu kuipitia wakamezwa.+
15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+“Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+
29 Kwa imani walipita katikati ya Bahari Nyekundu kana kwamba ni juu ya nchi kavu,+ lakini Wamisri walipothubutu kuipitia wakamezwa.+