Zaburi 58:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwadilifu atashangilia kwa sababu ameona kisasi.+Ataosha miguu yake katika damu ya mwovu.+ Zaburi 59:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mungu wa fadhili zenye upendo kwangu atanikabili yeye mwenyewe;+Mungu mwenyewe atanifanya niwatazame adui zangu.+ Zaburi 91:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Utatazama kwa macho yako tu+Na kuona malipo ya waovu.+ Methali 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova amefanya kila kitu kwa kusudi lake,+ naam, hata mwovu kwa ajili ya siku ya uovu.+
10 Mungu wa fadhili zenye upendo kwangu atanikabili yeye mwenyewe;+Mungu mwenyewe atanifanya niwatazame adui zangu.+