Zaburi 68:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ili upate kuosha mguu wako katika damu,+Ili ulimi wa mbwa zako upate fungu lake kutoka katika adui.”+ Methali 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mwovu ni fidia ya mwadilifu;+ naye anayetenda kwa hila huchukua mahali pa wanyoofu.+ Ufunuo 14:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na lile shinikizo la divai likakanyagiwa nje ya jiji,+ na damu ikatoka katika lile shinikizo la divai hata kufikia juu kwenye lijamu za farasi,+ kwa umbali wa stadia elfu moja mia sita.+
23 Ili upate kuosha mguu wako katika damu,+Ili ulimi wa mbwa zako upate fungu lake kutoka katika adui.”+
20 Na lile shinikizo la divai likakanyagiwa nje ya jiji,+ na damu ikatoka katika lile shinikizo la divai hata kufikia juu kwenye lijamu za farasi,+ kwa umbali wa stadia elfu moja mia sita.+