Methali 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mwadilifu ndiye huokolewa kutoka katika taabu,+ na mwovu huingia badala yake.+ Isaya 43:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu umekuwa mwenye thamani machoni pangu,+ umeonwa kuwa mwenye kuheshimika, na mimi mwenyewe nimekupenda.+ Nami nitawatoa watu badala yako, na vikundi vya mataifa badala ya nafsi yako.+
4 Kwa sababu umekuwa mwenye thamani machoni pangu,+ umeonwa kuwa mwenye kuheshimika, na mimi mwenyewe nimekupenda.+ Nami nitawatoa watu badala yako, na vikundi vya mataifa badala ya nafsi yako.+