Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Esta 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Sasa Harbona,+ mmoja wa maofisa wa makao ya mfalme+ aliyetumikia mbele ya mfalme, akasema: “Pia, kuna mti+ wenye urefu wa mikono 50 ambao Hamani aliutengeneza kwa ajili ya Mordekai, aliyesema mema kumhusu mfalme,+ umesimama katika nyumba ya Hamani.” Basi mfalme akasema: “Mtundikeni juu yake.”+

  • Methali 21:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Mwovu ni fidia ya mwadilifu;+ naye anayetenda kwa hila huchukua mahali pa wanyoofu.+

  • Danieli 6:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na mfalme akatoa amri, nao wakawaleta hao wanaume waliomshtaki Danieli,+ wakawatupa ndani ya lile shimo la simba,+ wana wao na wake zao;+ nao simba wakawashinda nguvu watu hao hata kabla ya kufika chini ya shimo hilo, nao wakaivunja mifupa yao yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki