9 Sasa Harbona,+ mmoja wa maofisa wa makao ya mfalme+ aliyetumikia mbele ya mfalme, akasema: “Pia, kuna mti+ wenye urefu wa mikono 50 ambao Hamani aliutengeneza kwa ajili ya Mordekai, aliyesema mema kumhusu mfalme,+ umesimama katika nyumba ya Hamani.” Basi mfalme akasema: “Mtundikeni juu yake.”+