Zaburi 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Usimame, Ee Yehova, katika hasira yako;+Uinuke katika milipuko ya ghadhabu ya wale wanaonionyesha uadui,+Na uamke kwa ajili yangu,+ kwa maana umetoa amri kwa ajili ya hukumu.+ Zaburi 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mataifa yamezama katika shimo walilolifanya;+Mguu wao wenyewe umekamatwa+ katika wavu+ waliouficha. Zaburi 35:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Uharibifu na umjie bila yeye kujua,+Na wavu wake mwenyewe aliouficha na umkamate;+Na aanguke ndani yake apatwe na uharibifu.+ Zaburi 73:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lo! Jinsi wamekuwa kitu cha kushangaza ghafula!+Jinsi wameufikia mwisho wao, wamemalizwa kwa matisho ya ghafula! Methali 11:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Uadilifu wa wanyoofu ndio utakaowakomboa,+ lakini wale wanaotenda kwa hila wao wenyewe watakamatwa kwa tamaa yao.+
6 Usimame, Ee Yehova, katika hasira yako;+Uinuke katika milipuko ya ghadhabu ya wale wanaonionyesha uadui,+Na uamke kwa ajili yangu,+ kwa maana umetoa amri kwa ajili ya hukumu.+
15 Mataifa yamezama katika shimo walilolifanya;+Mguu wao wenyewe umekamatwa+ katika wavu+ waliouficha.
8 Uharibifu na umjie bila yeye kujua,+Na wavu wake mwenyewe aliouficha na umkamate;+Na aanguke ndani yake apatwe na uharibifu.+
19 Lo! Jinsi wamekuwa kitu cha kushangaza ghafula!+Jinsi wameufikia mwisho wao, wamemalizwa kwa matisho ya ghafula!
6 Uadilifu wa wanyoofu ndio utakaowakomboa,+ lakini wale wanaotenda kwa hila wao wenyewe watakamatwa kwa tamaa yao.+