Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Usimame, Ee Yehova, katika hasira yako;+

      Uinuke katika milipuko ya ghadhabu ya wale wanaonionyesha uadui,+

      Na uamke kwa ajili yangu,+ kwa maana umetoa amri kwa ajili ya hukumu.+

  • Zaburi 9:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mataifa yamezama katika shimo walilolifanya;+

      Mguu wao wenyewe umekamatwa+ katika wavu+ waliouficha.

  • Zaburi 35:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Uharibifu na umjie bila yeye kujua,+

      Na wavu wake mwenyewe aliouficha na umkamate;+

      Na aanguke ndani yake apatwe na uharibifu.+

  • Zaburi 73:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lo! Jinsi wamekuwa kitu cha kushangaza ghafula!+

      Jinsi wameufikia mwisho wao, wamemalizwa kwa matisho ya ghafula!

  • Methali 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Uadilifu wa wanyoofu ndio utakaowakomboa,+ lakini wale wanaotenda kwa hila wao wenyewe watakamatwa kwa tamaa yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki