Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Baba yenu amenichezea, naye amebadili mshahara wangu mara kumi, lakini Mungu hakumruhusu anidhuru.+

  • Yeremia 39:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “‘Kwa maana bila shaka nitakuokoa, nawe hutaanguka kwa upanga; na hakika nafsi yako itakuwa kama nyara kwako,+ kwa sababu umenitegemea mimi,’+ asema Yehova.”

  • Yeremia 40:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na sasa, tazama! Leo nimekufungua pingu zilizokuwa mikononi mwako. Ikiwa ni vema machoni pako uje pamoja nami kule Babiloni, njoo, nami nitakuangalia sana.+ Lakini ikiwa ni vibaya machoni pako kwenda pamoja nami kule Babiloni, acha. Angalia! Nchi nzima iko mbele yako. Kokote ambako ni kwema na sawa machoni pako kwenda, nenda huko.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki