Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Nao wakaja kusaidiwa kupigana nao, hivi kwamba Wahagri na wale wote waliokuwa pamoja nao wakatiwa mkononi mwao, kwa maana walikuwa wameomba msaada+ kutoka kwa Mungu katika vita, naye akakubali kusihiwa awape kibali kwa sababu walimtegemea.+

  • Zaburi 37:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mtegemee Yehova na ufanye mema;+

      Ukae duniani, na utende kwa uaminifu.+

  • Zaburi 37:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na Yehova atawasaidia na kuwaokoa.+

      Atawaponya kutoka kwa watu waovu na kuwaokoa,+

      Kwa sababu wamemkimbilia yeye.+

  • Zaburi 84:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ee Yehova wa majeshi, mtu mwenye furaha ni yule anayekutegemea.+

  • Yeremia 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Amebarikiwa yule mtu hodari anayemtegemea Yehova, na ambaye Yehova amekuwa uhakika wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki