Zaburi 17:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Usimame, Ee Yehova; umkabili usoni;+Mfanye ainame; kwa upanga wako uiokoe nafsi yangu kutoka kwa mwovu,+ Zaburi 40:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Yehova mwenyewe ananijali.+Wewe ni msaidizi wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Mungu wangu, usichelewe mno.+
13 Usimame, Ee Yehova; umkabili usoni;+Mfanye ainame; kwa upanga wako uiokoe nafsi yangu kutoka kwa mwovu,+
17 Lakini mimi ninateseka nami ni maskini.+Yehova mwenyewe ananijali.+Wewe ni msaidizi wangu na Mwokoaji wangu.+Ee Mungu wangu, usichelewe mno.+