Zaburi
Sala ya Daudi.
17 Usikie jambo la uadilifu, Ee Yehova; Usikilize kwa makini kilio changu cha kusihi;+
Tega sikio kwa sala yangu bila midomo ya udanganyifu.+
3 Umeuchunguza moyo wangu, umefanya ukaguzi wakati wa usiku,+
Umenisafisha; utagundua kwamba sijapanga hila.+
Kinywa changu hakitafanya kosa.+
4 Nao utendaji wa wanadamu,
Kwa maneno ya midomo yako mimi mwenyewe nimejilinda na njia za mnyang’anyi.+
6 Mimi mwenyewe nakuitia wewe, kwa sababu utanijibu, Ee Mungu.+
Tega sikio lako kwangu. Usikilize neno langu.+
7 Uyafanye matendo yako ya fadhili zenye upendo yawe ya ajabu,+ Ee Mwokozi wa wale wanaotafuta kimbilio
Kutoka kwa waasi walio dhidi ya mkono wako wa kuume.+
12 Mfano wake ni ule wa simba anayetamani kurarua vipande-vipande+
Na ule wa mwana-simba anayekaa mahali palipofichika.
13 Usimame, Ee Yehova; umkabili usoni;+
Mfanye ainame; kwa upanga wako uiokoe nafsi yangu kutoka kwa mwovu,+