Zaburi 31:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yehova na abarikiwe,+Kwa maana amenionyesha fadhili zenye upendo za ajabu+ katika jiji lililo katika mkazo.+ Maombolezo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+
21 Yehova na abarikiwe,+Kwa maana amenionyesha fadhili zenye upendo za ajabu+ katika jiji lililo katika mkazo.+
22 Ni kutokana na matendo ya fadhili zenye upendo+ za Yehova kwamba hatujaisha,+ kwa maana hakika rehema zake hazitakoma.+