Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 9:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na katika rehema zako nyingi hukuwaangamiza+ wala kuwaacha;+ kwa maana wewe ni Mungu mwenye neema+ na rehema.+

  • Zaburi 78:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Lakini alikuwa mwenye rehema;+ akawa akilifunika kosa+ wala hakuharibu.+

      Na mara nyingi akageuzia mbali hasira yake,+

      Naye akawa haiamshi ghadhabu yake yote.

  • Zaburi 86:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini wewe, Ee Yehova, ni Mungu mwenye rehema na mwenye neema,+

      Si mwepesi wa hasira+ na ni mwingi wa fadhili zenye upendo na ukweli.+

  • Yeremia 30:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana mimi niko pamoja nawe,” asema Yehova, “ili nikuokoe;+ lakini nitafanya maangamizi kati ya mataifa yote ambako nimekutawanya.+ Hata hivyo, kwako sitafanya maangamizi.+ Nami nitakurekebisha kwa kiwango kinachofaa, kwa kuwa sitakuacha kamwe bila kukuadhibu.”+

  • Mika 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+

  • Luka 1:50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 50 na kwa vizazi baada ya vizazi rehema yake iko juu ya wale wanaomwogopa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki