Kumbukumbu la Torati 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana Yehova Mungu wako ni Mungu mwenye rehema.+ Hatakutupa wala kukuharibu wala kulisahau agano+ la mababu zako ambalo aliwaapia. 1 Wafalme 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 nami hakika nitakaa katikati ya wana wa Israeli,+ wala sitawaacha watu wangu Israeli.”+
31 Kwa maana Yehova Mungu wako ni Mungu mwenye rehema.+ Hatakutupa wala kukuharibu wala kulisahau agano+ la mababu zako ambalo aliwaapia.