Kumbukumbu la Torati 4:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu mwenye rehema.+ Hatawaacha wala kuwaangamiza wala kusahau agano alilowaapia mababu zenu.+
31 Kwa maana Yehova Mungu wenu ni Mungu mwenye rehema.+ Hatawaacha wala kuwaangamiza wala kusahau agano alilowaapia mababu zenu.+