16 Na hekalu la Mungu lina upatano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu+ la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa katikati yao+ na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
3 Ndipo nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Tazama! Hema+ la Mungu liko pamoja na wanadamu, naye atakaa+ pamoja nao, nao watakuwa watu wake.+ Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+