Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nao watanifanyia patakatifu, kwa maana mimi nitakaa katikati yao.+

  • Mambo ya Walawi 26:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na hakika mimi nitatembea katikati yenu na kujionyesha kuwa Mungu wenu,+ nanyi mtajionyesha kuwa watu wangu.+

  • Zaburi 132:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa maana Yehova amechagua Sayuni;+

      Amepatamani pawe makao kwa ajili yake mwenyewe:+

  • 2 Wakorintho 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na hekalu la Mungu lina upatano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu+ la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa katikati yao+ na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+

  • Ufunuo 21:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo nikasikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha ufalme ikisema: “Tazama! Hema+ la Mungu liko pamoja na wanadamu, naye atakaa+ pamoja nao, nao watakuwa watu wake.+ Na Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki