Kutoka 29:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Nami nitakaa katikati ya wana wa Israeli, nami nitakuwa Mungu wao.+ 1 Wafalme 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 nami hakika nitakaa katikati ya wana wa Israeli,+ wala sitawaacha watu wangu Israeli.”+ Waebrania 9:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata hivyo, Kristo alipokuja akiwa kuhani mkuu+ wa mambo mema ambayo yamekwisha kuwa, kupitia hema kubwa zaidi na kamilifu zaidi ambalo halikufanywa kwa mikono, yaani, si la uumbaji huu,+
11 Hata hivyo, Kristo alipokuja akiwa kuhani mkuu+ wa mambo mema ambayo yamekwisha kuwa, kupitia hema kubwa zaidi na kamilifu zaidi ambalo halikufanywa kwa mikono, yaani, si la uumbaji huu,+