Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa maana Yehova hatawaacha+ watu wake kwa ajili ya jina lake kuu,+ kwa sababu Yehova ameamua mwenyewe kuwafanya ninyi kuwa watu wake.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 28:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Naye Daudi akaendelea kumwambia Sulemani mwana wake: “Uwe hodari+ na mwenye nguvu nawe utende. Usiogope+ wala usiwe na hofu,+ kwa maana Yehova Mungu, Mungu wangu, yuko pamoja nawe.+ Hatakutupa+ wala kukuacha mpaka itakapomalizika kazi yote ya utumishi wa nyumba ya Yehova.

  • Waebrania 13:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Namna yenu ya maisha iwe bila upendo wa pesa,+ huku mkiridhika+ na vitu vya sasa.+ Kwa maana yeye amesema: “Sitakuacha wala kukutupa hata kidogo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki