6 Iweni hodari na wenye nguvu.+ Usiogope wala kushtuka mbele yao,+ kwa sababu Yehova Mungu wako ndiye anayepiga mwendo pamoja nawe. Hatakutupa wala kukuacha kabisa.”+
13 Hivyo utapata mafanikio+ ukiangalia kutenda masharti+ na maamuzi ya hukumu+ ambayo Yehova alimwamuru+ Musa kuhusu Israeli. Uwe hodari na mwenye nguvu.+ Usiogope+ wala usiingiwe na hofu.+