Yoshua 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Je, mimi sikukuamuru wewe?+ Uwe hodari na mwenye nguvu. Usitetemeke wala usiwe na hofu,+ kwa maana Yehova Mungu wako yupo pamoja nawe kila mahali unapoenda.”+ 2 Timotheo 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Mungu hakutupa sisi roho ya woga,+ bali ile ya nguvu+ na ya upendo na ya utimamu wa akili.+
9 Je, mimi sikukuamuru wewe?+ Uwe hodari na mwenye nguvu. Usitetemeke wala usiwe na hofu,+ kwa maana Yehova Mungu wako yupo pamoja nawe kila mahali unapoenda.”+
7 Kwa maana Mungu hakutupa sisi roho ya woga,+ bali ile ya nguvu+ na ya upendo na ya utimamu wa akili.+