8 Na Yehova ndiye anayepiga mwendo mbele yako. Yeye mwenyewe ataendelea kuwa pamoja nawe.+ Hatakutupa wala kukuacha kabisa. Usiogope wala usiingiwe na hofu.”+
8Kisha Yehova akamwambia Yoshua: “Usiogope wala usiwe na hofu.+ Wachukue pamoja nawe watu wote wa vita kisha usimame, mwende Ai. Tazama, nimemtia mkononi mwako mfalme wa Ai na watu wake na jiji lake na nchi yake.+