Yoshua 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao wakamwambia Yoshua: “Yehova ameitia nchi yote mkononi mwetu.+ Na kwa hiyo wakaaji wote wa nchi wamevunjika moyo pia kwa sababu yetu.”+ Zaburi 44:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+ Matendo 7:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Na mababu zetu waliolirithi waliliingiza pamoja na Yoshua+ ndani ya nchi iliyomilikiwa na mataifa,+ ambayo Mungu aliyafukuza kutoka mbele ya mababu zetu.+ Lilibaki humo mpaka siku za Daudi.
24 Nao wakamwambia Yoshua: “Yehova ameitia nchi yote mkononi mwetu.+ Na kwa hiyo wakaaji wote wa nchi wamevunjika moyo pia kwa sababu yetu.”+
3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+
45 Na mababu zetu waliolirithi waliliingiza pamoja na Yoshua+ ndani ya nchi iliyomilikiwa na mataifa,+ ambayo Mungu aliyafukuza kutoka mbele ya mababu zetu.+ Lilibaki humo mpaka siku za Daudi.