9 Na Yehova atayafukuza mataifa makubwa na yenye nguvu kutoka mbele yenu.+ (Lakini kwenu ninyi, hakuna hata mwanadamu mmoja ambaye amesimama mbele yenu mpaka leo hii.)+
18 Na Yehova akafukuza vikundi vyote vya watu mbele yetu,+ ndiyo, Waamori, waliokaa mbele yetu katika nchi. Na kwa habari yetu pia, sisi tutamtumikia Yehova, kwa maana yeye ndiye Mungu wetu.”+