12“Haya ndiyo masharti+ na maamuzi ya hukumu+ ambayo mnapaswa kuwa waangalifu kuyatimiza+ katika nchi ambayo Yehova Mungu wa mababu zenu atawaruhusu kuimiliki, siku zote mtakazokuwa hai kwenye nchi hiyo.+
19 “Naye atakaa nacho, na kukisoma siku zote za maisha yake,+ kusudi ajifunze kumwogopa Yehova Mungu wake ili apate kushika maneno yote ya sheria hii na masharti haya kwa kuyafanya;+