Kumbukumbu la Torati 11:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Nanyi mtatia maneno haya yangu katika moyo wenu+ na nafsi yenu na kuyafunga kama ishara juu ya mkono wenu, nayo yatakuwa kama utepe wa kipaji katikati ya macho yenu.+ Zaburi 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Bali mapendezi yake ni katika sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria yake kwa sauti ya chini mchana na usiku.+ Zaburi 119:97 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 97 Jinsi ninavyoipenda sheria yako!+Ndiyo ninayoihangaikia mchana kutwa.+
18 “Nanyi mtatia maneno haya yangu katika moyo wenu+ na nafsi yenu na kuyafunga kama ishara juu ya mkono wenu, nayo yatakuwa kama utepe wa kipaji katikati ya macho yenu.+
2 Bali mapendezi yake ni katika sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria yake kwa sauti ya chini mchana na usiku.+