Kumbukumbu la Torati 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na maneno haya ninayokuamuru leo lazima yawe moyoni mwako;+ Zaburi 37:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sheria ya Mungu wake imo katika moyo wake;+Hatua zake hazitayumba-yumba.+ Methali 7:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Zifunge juu ya vidole vyako,+ na kuziandika juu ya kibao cha moyo wako.+ Isaya 51:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Nisikilizeni mimi, ninyi mnaoujua uadilifu, watu ambao sheria yangu imo moyoni mwao.+ Msiogope shutuma ya wanadamu wanaoweza kufa, wala msiingiwe na hofu kwa sababu tu ya maneno yao mabaya.+
7 “Nisikilizeni mimi, ninyi mnaoujua uadilifu, watu ambao sheria yangu imo moyoni mwao.+ Msiogope shutuma ya wanadamu wanaoweza kufa, wala msiingiwe na hofu kwa sababu tu ya maneno yao mabaya.+