Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati 6:1

Marejeo

  • +Kum 4:1, 10

Kumbukumbu la Torati 6:2

Marejeo

  • +Kut 20:20; Yos 24:14; Ayu 28:28; Zb 111:10; 128:1
  • +Mwa 18:19; Kum 4:9
  • +Kum 5:16; Met 3:2

Kumbukumbu la Torati 6:3

Marejeo

  • +Kum 5:32; 2Fa 21:8
  • +Mhu 8:12; Isa 3:10
  • +Mwa 13:16

Kumbukumbu la Torati 6:4

Marejeo

  • +Kum 5:7; Isa 42:8; Zek 14:9; Mk 12:29; 1Ko 8:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2016, kur. 18-22

    Mnara wa Mlinzi,

    3/1/2012, uku. 23

    12/15/1992, uku. 29

    Jitihada ya Ainabinadamu ya Kutafuta Mungu, kur. 218-219

    Kutoa Sababu, kur. 367, 378

    Utatu, kur. 12-13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 3/1 23; rs 367, 378

Kumbukumbu la Torati 6:5

Marejeo

  • +Kum 10:12; Mt 22:37
  • +Kum 11:13; 30:6
  • +Mk 12:30; Lu 10:27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2007, kur. 15-16

    6/15/2005, uku. 20

    10/1/1995, uku. 13

    “Kila Andiko,” uku. 37

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 5/15 15-16; w05 6/15 20

Kumbukumbu la Torati 6:6

Marejeo

  • +Kum 11:18; Met 7:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 50

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2008, uku. 14

    5/15/2007, kur. 15-16

    4/1/2006, kur. 8-9

    6/15/2005, uku. 20

    4/1/2005, kur. 11-12

    6/1/1998, uku. 20

    12/1/1996, uku. 11

    7/1/1991, uku. 26

    8/15/1988, uku. 11

    Furaha ya Familia, kur. 55-57, 58-59, 70-71

    Ujuzi, uku. 146

    Amkeni!,

    5/22/1993, kur. 16-17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 4/1 14; w07 5/15 15-16; w06 4/1 8-9; w05 4/1 12; w05 6/15 20; w98 6/1 20; w96 12/1 11; fy 55-59, 70-71

Kumbukumbu la Torati 6:7

Marejeo

  • +Mwa 18:19; Kum 4:9; 11:19; Met 22:6; Efe 6:4
  • +Met 6:22

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Furahia Maisha Milele!, somo la 50

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    12/2019, kur. 26-27

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2013, uku. 16

    4/1/2008, uku. 14

    9/1/2007, uku. 22

    5/15/2007, kur. 15-16

    11/1/2006, kur. 4-6

    4/1/2006, kur. 8-9

    6/15/2005, kur. 20-21

    4/15/2005, kur. 6-7

    4/1/2005, kur. 11-12

    1/1/2005, uku. 26

    6/15/2004, uku. 5

    6/1/1998, kur. 20-22

    12/1/1996, uku. 11

    5/1/1995, uku. 10

    6/15/1989, uku. 20

    Furaha ya Familia, kur. 55-57, 58-59, 70-71

    Ujuzi, uku. 146

    Amkeni!,

    5/22/1993, kur. 16-17

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 4/1 14; w07 5/15 15-16; w07 9/1 22; w06 4/1 8-9; w06 11/1 4, 6; w05 1/1 26; w05 4/1 12; w05 4/15 6-7; w05 6/15 20-21; w04 6/15 5; w98 6/1 20-22; w96 12/1 11; fy 55-59, 70-71

Kumbukumbu la Torati 6:8

Marejeo

  • +Met 3:3; 7:3
  • +Kut 13:9, 16; Kum 11:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    4/1/2005, uku. 13

    9/15/2004, uku. 26

    7/15/1995, uku. 29

    5/1/1995, kur. 11-12

    8/15/1988, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 4/1 13; w04 9/15 26

Kumbukumbu la Torati 6:9

Marejeo

  • +Kum 11:20

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    4/1/2005, uku. 13

    7/15/1995, uku. 29

    5/1/1995, kur. 11-12

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 4/1 13

Kumbukumbu la Torati 6:10

Marejeo

  • +Mwa 15:18
  • +Yos 24:13; Zb 105:44

Kumbukumbu la Torati 6:11

Marejeo

  • +Kum 8:10

Kumbukumbu la Torati 6:12

Marejeo

  • +Amu 3:7; Yer 2:32

Kumbukumbu la Torati 6:13

Marejeo

  • +Kum 10:12; 13:4; Zb 34:9; 128:1
  • +Lu 4:8
  • +Kum 10:20; Amu 21:7; Yer 12:16

Kumbukumbu la Torati 6:14

Marejeo

  • +Kut 34:14; Kum 8:19; Yer 25:6

Kumbukumbu la Torati 6:15

Marejeo

  • +Kut 20:5; Kum 4:24; Yos 24:19; Nah 1:2
  • +Kut 32:10; Hes 25:3; Kum 11:17; Amu 2:14
  • +1Fa 13:34; 2Fa 17:18

Kumbukumbu la Torati 6:16

Marejeo

  • +Mt 4:7; Lu 4:12; 1Ko 10:9
  • +Kut 17:2; Kum 33:8; Zb 95:8; Ebr 3:8

Kumbukumbu la Torati 6:17

Marejeo

  • +Kum 11:13; Eze 20:11
  • +1Fa 2:3
  • +Kum 4:1; Ne 9:13
  • +Kum 11:22; Zb 119:4

Kumbukumbu la Torati 6:18

Marejeo

  • +Kum 5:33
  • +Mwa 15:18

Kumbukumbu la Torati 6:19

Marejeo

  • +Kut 23:30; Hes 33:52

Kumbukumbu la Torati 6:20

Marejeo

  • +Kut 13:14

Kumbukumbu la Torati 6:21

Marejeo

  • +Kut 15:6

Kumbukumbu la Torati 6:22

Marejeo

  • +Kut 7:3; Kum 7:19
  • +Kum 4:34

Kumbukumbu la Torati 6:23

Marejeo

  • +Kut 13:5; Kum 1:8

Kumbukumbu la Torati 6:24

Marejeo

  • +Kum 5:1; 1Fa 2:3
  • +Kum 10:12; Zb 111:10; Met 14:27; Mhu 8:12
  • +Kum 4:1; Lu 10:28; Gal 3:12

Kumbukumbu la Torati 6:25

Marejeo

  • +Ro 10:5
  • +Law 18:5; Mhu 12:13

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 6:1Kum 4:1, 10
Kum. 6:2Kut 20:20; Yos 24:14; Ayu 28:28; Zb 111:10; 128:1
Kum. 6:2Mwa 18:19; Kum 4:9
Kum. 6:2Kum 5:16; Met 3:2
Kum. 6:3Kum 5:32; 2Fa 21:8
Kum. 6:3Mhu 8:12; Isa 3:10
Kum. 6:3Mwa 13:16
Kum. 6:4Kum 5:7; Isa 42:8; Zek 14:9; Mk 12:29; 1Ko 8:6
Kum. 6:5Kum 10:12; Mt 22:37
Kum. 6:5Kum 11:13; 30:6
Kum. 6:5Mk 12:30; Lu 10:27
Kum. 6:6Kum 11:18; Met 7:3
Kum. 6:7Mwa 18:19; Kum 4:9; 11:19; Met 22:6; Efe 6:4
Kum. 6:7Met 6:22
Kum. 6:8Met 3:3; 7:3
Kum. 6:8Kut 13:9, 16; Kum 11:18
Kum. 6:9Kum 11:20
Kum. 6:10Mwa 15:18
Kum. 6:10Yos 24:13; Zb 105:44
Kum. 6:11Kum 8:10
Kum. 6:12Amu 3:7; Yer 2:32
Kum. 6:13Kum 10:12; 13:4; Zb 34:9; 128:1
Kum. 6:13Lu 4:8
Kum. 6:13Kum 10:20; Amu 21:7; Yer 12:16
Kum. 6:14Kut 34:14; Kum 8:19; Yer 25:6
Kum. 6:15Kut 20:5; Kum 4:24; Yos 24:19; Nah 1:2
Kum. 6:15Kut 32:10; Hes 25:3; Kum 11:17; Amu 2:14
Kum. 6:151Fa 13:34; 2Fa 17:18
Kum. 6:16Mt 4:7; Lu 4:12; 1Ko 10:9
Kum. 6:16Kut 17:2; Kum 33:8; Zb 95:8; Ebr 3:8
Kum. 6:17Kum 11:13; Eze 20:11
Kum. 6:171Fa 2:3
Kum. 6:17Kum 4:1; Ne 9:13
Kum. 6:17Kum 11:22; Zb 119:4
Kum. 6:18Kum 5:33
Kum. 6:18Mwa 15:18
Kum. 6:19Kut 23:30; Hes 33:52
Kum. 6:20Kut 13:14
Kum. 6:21Kut 15:6
Kum. 6:22Kut 7:3; Kum 7:19
Kum. 6:22Kum 4:34
Kum. 6:23Kut 13:5; Kum 1:8
Kum. 6:24Kum 5:1; 1Fa 2:3
Kum. 6:24Kum 10:12; Zb 111:10; Met 14:27; Mhu 8:12
Kum. 6:24Kum 4:1; Lu 10:28; Gal 3:12
Kum. 6:25Ro 10:5
Kum. 6:25Law 18:5; Mhu 12:13
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 6:1-25

Kumbukumbu la Torati

6 “Sasa hizi ndizo amri, masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wenu ameamuru mfundishwe,+ ili myatende katika nchi mnayovuka ili kuimiliki; 2 upate kumwogopa+ Yehova Mungu wako ili kushika sheria zake zote na amri zake ambazo ninakuamuru wewe, wewe na mwana wako na mjukuu wako,+ siku zote za maisha yako, na ili siku zako ziwe ndefu.+ 3 Nawe usikilize, Ee Israeli, nawe uwe mwangalifu kuzitenda,+ ili mambo yakuendee vema+ nanyi mpate kuwa wengi sana, kama vile ambavyo Yehova Mungu wa mababu zako amekuahidi wewe,+ kuhusu nchi inayotiririka maziwa na asali.

4 “Sikiliza, Ee Israeli: Yehova Mungu wetu ni Yehova mmoja.+ 5 Nawe lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo+ wako wote na kwa nafsi+ yako yote na kwa nguvu+ zako zote. 6 Na maneno haya ninayokuamuru leo lazima yawe moyoni mwako;+ 7 nawe uyakazie kwa mwana wako+ na kuyasema unapoketi katika nyumba yako na unapotembea barabarani na unapolala+ na unapoamka. 8 Nawe uyafunge kama ishara kwenye mkono wako,+ na yawe kama utepe wa kipaji katikati ya macho yako;+ 9 nawe uyaandike juu ya miimo ya mlango wa nyumba yako na juu ya malango yako.+

10 “Na itatukia kwamba Yehova Mungu wako atakapokuleta katika nchi ambayo aliwaapia mababu zako Abrahamu, Isaka na Yakobo, kwamba atakupa,+ majiji makubwa na yenye kupendeza ambayo wewe hukuyajenga,+ 11 na nyumba zilizojaa vitu vyote vizuri na ambazo hukuzijaza, na mashimo ya maji yaliyochimbwa ambayo hukuyachimba, mashamba ya mizabibu na mizeituni ambayo hukuipanda, nawe utakapokuwa umekula na kushiba,+ 12 jiangalie usije ukamsahau+ Yehova, aliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka katika nyumba ya watumwa. 13 Unapaswa kumwogopa Yehova Mungu wako,+ nawe unapaswa kumtumikia yeye,+ nawe unapaswa kuapa kwa jina lake.+ 14 Usiifuate miungu mingine, miungu yoyote ya vikundi vya watu wanaowazunguka pande zote,+ 15 (kwa maana Yehova Mungu wako aliye katikati yako ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili,)+ hasira ya Yehova isije ikawaka juu yako,+ naye akuangamize kutoka katika uso wa nchi.+

16 “Msimjaribu Yehova Mungu wenu,+ vile mlivyomjaribu huko Masa.+ 17 Mnapaswa kuzishika kwa vyovyote amri za Yehova Mungu+ wenu na ushuhuda+ wake na masharti+ yake ambayo amekuamuru.+ 18 Nawe ufanye yaliyo sawa na yaliyo mema machoni pa Yehova, ili mambo yakuendee vema+ wewe, nawe kwa kweli upate kuingia na kuimiliki ile nchi nzuri ambayo Yehova amewaapia mababu zako,+ 19 kwa kuwasukumia mbali adui zako wote toka mbele yako, kama vile ambavyo Yehova ameahidi.+

20 “Ikiwa mwana wako atakuuliza katika siku fulani wakati ujao,+ akisema, ‘Ushuhuda na masharti na maamuzi ya hukumu ambayo Yehova Mungu wetu amewaamuru ninyi yanamaanisha nini?’ 21 ndipo utakapomwambia mwana wako, ‘Tulikuwa watumwa kwa Farao katika Misri, lakini Yehova alitutoa Misri kwa mkono wenye nguvu.+ 22 Basi Yehova akaendelea kuweka ishara na miujiza,+ kubwa na zenye kuleta msiba, juu ya Misri, juu ya Farao na juu ya nyumba yake yote mbele ya macho yetu.+ 23 Naye akatutoa huko ili atulete hapa, atupe nchi ambayo alikuwa amewaapia mababu zetu.+ 24 Basi Yehova akatuamuru tushike masharti yote haya,+ tumwogope Yehova Mungu wetu kwa ajili ya hali njema yetu sikuzote,+ ili tupate kuendelea kuwa hai kama ilivyo leo hii.+ 25 Nayo itamaanisha uadilifu kwetu,+ kwamba tuwe waangalifu kutenda amri yote hii mbele za Yehova Mungu wetu, kama vile ambavyo ametuamuru.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki