Kumbukumbu la Torati 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Usiwe kamwe na miungu mingine dhidi ya uso wangu.+ Isaya 42:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu;+ nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe,+ wala sitazipa+ sanamu za kuchongwa sifa yangu.+ Zekaria 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na Yehova atakuwa mfalme juu ya dunia yote.+ Katika siku hiyo Yehova atakuwa mmoja,+ na jina lake litakuwa moja.+ Marko 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yesu akajibu: “Ya kwanza ni hii, ‘Sikia, Ee Israeli, Yehova Mungu wetu ni Yehova mmoja,+ 1 Wakorintho 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa kweli kwetu sisi kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake, na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana+ mmoja, Yesu Kristo,+ ambaye vitu vyote vimepitia kwake,+ na sisi kupitia yeye.
8 “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu;+ nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe,+ wala sitazipa+ sanamu za kuchongwa sifa yangu.+
9 Na Yehova atakuwa mfalme juu ya dunia yote.+ Katika siku hiyo Yehova atakuwa mmoja,+ na jina lake litakuwa moja.+
6 kwa kweli kwetu sisi kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake, na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana+ mmoja, Yesu Kristo,+ ambaye vitu vyote vimepitia kwake,+ na sisi kupitia yeye.