Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Usiwe kamwe na miungu mingine dhidi ya uso wangu.+

  • Isaya 42:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Mimi ni Yehova. Hilo ni jina langu;+ nami sitampa mwingine yeyote utukufu wangu mwenyewe,+ wala sitazipa+ sanamu za kuchongwa sifa yangu.+

  • Zekaria 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Yehova atakuwa mfalme juu ya dunia yote.+ Katika siku hiyo Yehova atakuwa mmoja,+ na jina lake litakuwa moja.+

  • Marko 12:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yesu akajibu: “Ya kwanza ni hii, ‘Sikia, Ee Israeli, Yehova Mungu wetu ni Yehova mmoja,+

  • 1 Wakorintho 8:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa kweli kwetu sisi kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake, na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana+ mmoja, Yesu Kristo,+ ambaye vitu vyote vimepitia kwake,+ na sisi kupitia yeye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki