Malaki 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, sisi hatukuumbwa na Mungu mmoja?+ Kwa nini basi tunatendeana kwa hila,+ katika kutia unajisi agano la mababu zetu?+ Mathayo 23:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Zaidi ya hayo, msimwite mtu yeyote baba yenu duniani, kwa maana Baba+ yenu ni mmoja, Yule wa mbinguni.
10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, sisi hatukuumbwa na Mungu mmoja?+ Kwa nini basi tunatendeana kwa hila,+ katika kutia unajisi agano la mababu zetu?+
9 Zaidi ya hayo, msimwite mtu yeyote baba yenu duniani, kwa maana Baba+ yenu ni mmoja, Yule wa mbinguni.