8 Nami nikawaambia: “Sisi wenyewe tumewanunua+ ndugu zetu Wayahudi waliouzwa kwa mataifa, kwa kadiri ya uwezo wetu; je, wakati uleule ninyi mtawauza ndugu zenu,+ na je, wauzwe kwetu?” Ndipo wakanyamaza kimya, wala hawakupata neno lolote la kusema.+
2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+