Methali 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakizidi kusema: “Haya, njoo pamoja nasi. Na tuvizie ili kumwaga damu.+ Na tujifiche ili kuwashambulia, bila sababu, watu wasio na hatia.+ Methali 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Maana miguu yao hukimbilia ubaya mtupu,+ nao huharakisha kwenda kumwaga damu.+ Isaya 59:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Miguu yao huendelea kukimbia kuelekea ubaya mtupu,+ nao wanafanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia.+ Mawazo yao ni mawazo yenye madhara;+ uporaji na mvunjiko zimo katika njia kuu zao.+ Waroma 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Miguu yao inaharakisha kwenda kumwaga damu.”+
11 Wakizidi kusema: “Haya, njoo pamoja nasi. Na tuvizie ili kumwaga damu.+ Na tujifiche ili kuwashambulia, bila sababu, watu wasio na hatia.+
7 Miguu yao huendelea kukimbia kuelekea ubaya mtupu,+ nao wanafanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia.+ Mawazo yao ni mawazo yenye madhara;+ uporaji na mvunjiko zimo katika njia kuu zao.+