Methali 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana hawalali wasipotenda jambo baya,+ nao hawapati usingizi wasipomkwaza mtu.+ Methali 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 moyo unaotunga hila zenye kuumiza,+ miguu iliyo myepesi kukimbilia ubaya,+ Methali 19:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Pia, si vema kwamba nafsi ikose ujuzi,+ naye anayefanya haraka kwa miguu yake anatenda dhambi.+