Methali 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+ Isaya 59:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Miguu yao huendelea kukimbia kuelekea ubaya mtupu,+ nao wanafanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia.+ Mawazo yao ni mawazo yenye madhara;+ uporaji na mvunjiko zimo katika njia kuu zao.+ Waroma 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Miguu yao inaharakisha kwenda kumwaga damu.”+
7 Miguu yao huendelea kukimbia kuelekea ubaya mtupu,+ nao wanafanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia.+ Mawazo yao ni mawazo yenye madhara;+ uporaji na mvunjiko zimo katika njia kuu zao.+